iqna

IQNA

Masjid Babri
Hali ya Waislamu India
IQNA - Baadhi ya Waislamu wanaoishi karibu na hekalu jipya la Wahindu huko Ayodhya, India, wanapanga kuzihamisha familia zao kabla ya mwezi ujao wa uzinduzi wa hekalu ambalo limejengwa katika eneo la msikiti uliokuwa maarufu uliojulikana kama Masjid Babri, wakihofia kutokea mapigano na wafanyaziara wa Kihindu.
Habari ID: 3478068    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mpango unatayarishwa wa kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha Ayodhya katika jimbo la Uttar Pradesh nchini India.
Habari ID: 3475657    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21